Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (2025)

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,756
6,245
  • Jun 6, 2023
  • #21

Shida ya Nchi yetu ni kwamba hawataki kwenda na wakati.Kuna watu ofisi zao ni instagram,kazi wanafanyia geto mbagala,picha wanachukia ali express malipo kwa lipa namba...Sasa mtu kama huyo unamdaia sijui mkataba wa panho ili nn?

Mwambie tu akupe anuani yake,mtaa,barabara,nyumba namba namba ya simu na email.Mengine mta deal naye taratibu tu bila shida.Hata hiyo Tax clearance hawahitaji wanachatajuwa kufanya ni ku interlink mifumo,ma wa TRA kuona kama kodi imelipwa kikamilifu,Maana kwa TRA kupewa clearance nako kama uhalifu mwingine tu...

D

DENAMWE

JF-Expert Member
Dec 29, 2019
864
880
  • Jul 2, 2023
  • #22

Nahitaji leseni mpya ya biashara.

Naomba kupata maelekezo ya kutumia mfumo wa TAUSI ili niweze kujikatia leseni.

M

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,112
5,111
  • Jul 4, 2023
  • #23

Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.

M

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,112
5,111
  • Jul 4, 2023
  • #24

DENAMWE said:

Nahitaji leseni mpya ya biashara.

Naomba kupata maelekezo ya kutumia mfumo wa TAUSI ili niweze kujikatia leseni.

Nimejaribu hapo juu

Mr. Purpose

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
1,474
2,784
  • Jul 13, 2023
  • #25

Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane

Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (3)

Palyang'ei

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
294
194
  • Jul 29, 2023
  • #26

Hivi hamna raia mwema wa kuelezea hapa mbinu za mfumo wa tausi?

ki2c

JF-Expert Member
Jan 17, 2016
8,210
15,320
  • Jul 29, 2023
  • #27

Nimepata madini hapa.Mchakato nauanza.

kawombe

JF-Expert Member
Mar 26, 2015
15,627
17,982
  • Sep 1, 2023
  • #28

Mr. Purpose said:

Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane View attachment 2686827

Imekaa uzuri

J

jumaayubu508

New Member
Jun 23, 2023
2
0
  • Sep 10, 2023
  • #29

Nimelipia lakini sijaletewa sehemu ya kudownload leseni. Nimelipia jumapili usiku.

D

demand

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
270
588
  • Sep 14, 2023
  • #30

Naomba muongozo hatua kwa hatua tafadhali niweze kuapply hyo leseni

Smart911

Platinum Member
Jan 3, 2014
145,188
171,787
  • Sep 14, 2023
  • #31

Ahsante kwa taarifa...

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 21, 2023
  • #32

MIGNON said:

Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.

nataka kujua kama caretaker mmoja anaweza kukata leseni ya kampuni zaidi ya moja...kama inawezekana nafanyaje kuongeza kampuni nyingine kwny akaunti yangu?

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 21, 2023
  • #33

jumaayubu508 said:

Nimelipia lakini sijaletewa sehemu ya kudownload leseni. Nimelipia jumapili usiku.

je umeshaweza kudownload?lete mrejesho maana mm nimeapply nasubiri approval

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 21, 2023
  • #34

Mr. Purpose said:

Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane View attachment 2686827

changamoto niliyonayo ni jinsi ya kuongeza kampuni nyingine kwny akaunti yangu

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 22, 2023
  • #35

Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (14)

Msaada hapa nafanyaje?!
Tayari imeshakuwa aprroved lkn kila nikitaka kupata control no inasema hivi tokea asbh Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (15)Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (16)

D

demand

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
270
588
  • Sep 23, 2023
  • #36

Wakuu alyefankiwa lesen Kwa hii TAUSI

tafadhali naomba nuwasliane nae hatua kwa hatua

Mm n mzito sana kuelewa haya mambo ya digital

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 23, 2023
  • #37

demand said:

Wakuu alyefankiwa lesen Kwa hii TAUSI

tafadhali naomba nuwasliane nae hatua kwa hatua

Mm n mzito sana kuelewa haya mambo ya digital

Mm nimefanikiwa moja..lkn moja bado inasumbua kuleta control no ingawa tayari imeshakuwa approved.

Akaunti alinifungulia mtu wa manispaa mwezi wa 7 wakat naomba leseni nyingine na kila kitu alifanya yeye wakat huo

Juzi nimwingia mwenyewe kwny akaunti nikaomba lesenj nyingine mwenyewe

D

demand

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
270
588
  • Sep 23, 2023
  • #38

Nokia83 said:

Mm nimefanikiwa moja..lkn moja bado inasumbua kuleta control no ingawa tayari imeshakuwa approved.

Akaunti alinifungulia mtu wa manispaa mwezi wa 7 wakat naomba leseni nyingine na kila kitu alifanya yeye wakat huo

Juzi nimwingia mwenyewe kwny akaunti nikaomba lesenj nyingine mwenyewe

Naomba muongozo mkuu

Na inakuwaje kama nyuma unamadeni?yaan skulipa toka 2020 dec,biashara ilikufa skutoa taarifa

Sasahv nna biashara nyingne nataka leseni

Tax clearance ipo

Nokia83

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
24,643
44,355
  • Sep 23, 2023
  • #39

demand said:

Naomba muongozo mkuu

Na inakuwaje kama nyuma unamadeni?yaan skulipa toka 2020 dec,biashara ilikufa skutoa taarifa

Sasahv nna biashara nyingne nataka leseni

Tax clearance ipo

Kama ni leseni ya kampuni uwe hivi

Tax clearance
Memorandum
Tin
Mkataba wa pango
Kitambulisho au namba ya nida
Barua ya utambulisho wa kampuni

Wakishakufungulia akaunti unaweza kupata leseni bila tatizo

D

Dinyorai

Member
May 27, 2023
43
67
  • Sep 23, 2023
  • #40

MIGNON said:

Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.

Hii imekaaje wafanya biashara ambao hawana pango wanafanyia online. Au kwa wale wanao anza biashara.

You must log in or register to reply here.

Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal (2025)

References

Top Articles
Latest Posts
Recommended Articles
Article information

Author: Sen. Ignacio Ratke

Last Updated:

Views: 6519

Rating: 4.6 / 5 (76 voted)

Reviews: 83% of readers found this page helpful

Author information

Name: Sen. Ignacio Ratke

Birthday: 1999-05-27

Address: Apt. 171 8116 Bailey Via, Roberthaven, GA 58289

Phone: +2585395768220

Job: Lead Liaison

Hobby: Lockpicking, LARPing, Lego building, Lapidary, Macrame, Book restoration, Bodybuilding

Introduction: My name is Sen. Ignacio Ratke, I am a adventurous, zealous, outstanding, agreeable, precious, excited, gifted person who loves writing and wants to share my knowledge and understanding with you.