Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,756
- 6,245
- Jun 6, 2023
- #21
Shida ya Nchi yetu ni kwamba hawataki kwenda na wakati.Kuna watu ofisi zao ni instagram,kazi wanafanyia geto mbagala,picha wanachukia ali express malipo kwa lipa namba...Sasa mtu kama huyo unamdaia sijui mkataba wa panho ili nn?
Mwambie tu akupe anuani yake,mtaa,barabara,nyumba namba namba ya simu na email.Mengine mta deal naye taratibu tu bila shida.Hata hiyo Tax clearance hawahitaji wanachatajuwa kufanya ni ku interlink mifumo,ma wa TRA kuona kama kodi imelipwa kikamilifu,Maana kwa TRA kupewa clearance nako kama uhalifu mwingine tu...
D
DENAMWE
JF-Expert Member
- Dec 29, 2019
- 864
- 880
- Jul 2, 2023
- #22
Nahitaji leseni mpya ya biashara.
Naomba kupata maelekezo ya kutumia mfumo wa TAUSI ili niweze kujikatia leseni.
M
MIGNON
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 4,112
- 5,111
- Jul 4, 2023
- #23
Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.
M
MIGNON
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 4,112
- 5,111
- Jul 4, 2023
- #24
DENAMWE said:
Nahitaji leseni mpya ya biashara.
Naomba kupata maelekezo ya kutumia mfumo wa TAUSI ili niweze kujikatia leseni.
Nimejaribu hapo juu
Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,474
- 2,784
- Jul 13, 2023
- #25
Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane
Palyang'ei
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 294
- 194
- Jul 29, 2023
- #26
Hivi hamna raia mwema wa kuelezea hapa mbinu za mfumo wa tausi?
ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,210
- 15,320
- Jul 29, 2023
- #27
Nimepata madini hapa.Mchakato nauanza.
kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 15,627
- 17,982
- Sep 1, 2023
- #28
Mr. Purpose said:
Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane View attachment 2686827
Imekaa uzuri
J
jumaayubu508
New Member
- Jun 23, 2023
- 2
- 0
- Sep 10, 2023
- #29
Nimelipia lakini sijaletewa sehemu ya kudownload leseni. Nimelipia jumapili usiku.
D
demand
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 270
- 588
- Sep 14, 2023
- #30
Naomba muongozo hatua kwa hatua tafadhali niweze kuapply hyo leseni
Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 145,188
- 171,787
- Sep 14, 2023
- #31
Ahsante kwa taarifa...
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 21, 2023
- #32
MIGNON said:
Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.
nataka kujua kama caretaker mmoja anaweza kukata leseni ya kampuni zaidi ya moja...kama inawezekana nafanyaje kuongeza kampuni nyingine kwny akaunti yangu?
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 21, 2023
- #33
jumaayubu508 said:
Nimelipia lakini sijaletewa sehemu ya kudownload leseni. Nimelipia jumapili usiku.
je umeshaweza kudownload?lete mrejesho maana mm nimeapply nasubiri approval
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 21, 2023
- #34
Mr. Purpose said:
Kwa wewe unayepata changamoto tuwasiliane View attachment 2686827
changamoto niliyonayo ni jinsi ya kuongeza kampuni nyingine kwny akaunti yangu
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 22, 2023
- #35
Msaada hapa nafanyaje?!
Tayari imeshakuwa aprroved lkn kila nikitaka kupata control no inasema hivi tokea asbh 

D
demand
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 270
- 588
- Sep 23, 2023
- #36
Wakuu alyefankiwa lesen Kwa hii TAUSI
tafadhali naomba nuwasliane nae hatua kwa hatua
Mm n mzito sana kuelewa haya mambo ya digital
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 23, 2023
- #37
demand said:
Wakuu alyefankiwa lesen Kwa hii TAUSI
tafadhali naomba nuwasliane nae hatua kwa hatua
Mm n mzito sana kuelewa haya mambo ya digital
Mm nimefanikiwa moja..lkn moja bado inasumbua kuleta control no ingawa tayari imeshakuwa approved.
Akaunti alinifungulia mtu wa manispaa mwezi wa 7 wakat naomba leseni nyingine na kila kitu alifanya yeye wakat huo
Juzi nimwingia mwenyewe kwny akaunti nikaomba lesenj nyingine mwenyewe
D
demand
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 270
- 588
- Sep 23, 2023
- #38
Nokia83 said:
Mm nimefanikiwa moja..lkn moja bado inasumbua kuleta control no ingawa tayari imeshakuwa approved.
Akaunti alinifungulia mtu wa manispaa mwezi wa 7 wakat naomba leseni nyingine na kila kitu alifanya yeye wakat huo
Juzi nimwingia mwenyewe kwny akaunti nikaomba lesenj nyingine mwenyewe
Naomba muongozo mkuu
Na inakuwaje kama nyuma unamadeni?yaan skulipa toka 2020 dec,biashara ilikufa skutoa taarifa
Sasahv nna biashara nyingne nataka leseni
Tax clearance ipo
Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,355
- Sep 23, 2023
- #39
demand said:
Naomba muongozo mkuu
Na inakuwaje kama nyuma unamadeni?yaan skulipa toka 2020 dec,biashara ilikufa skutoa taarifa
Sasahv nna biashara nyingne nataka leseni
Tax clearance ipo
Kama ni leseni ya kampuni uwe hivi
Tax clearance
Memorandum
Tin
Mkataba wa pango
Kitambulisho au namba ya nida
Barua ya utambulisho wa kampuni
Wakishakufungulia akaunti unaweza kupata leseni bila tatizo
D
Dinyorai
Member
- May 27, 2023
- 43
- 67
- Sep 23, 2023
- #40
MIGNON said:
Ni mfumo rahisi lakini wame u complicate bila sababu.Kwa password wanayohitaji ni lazima uiandike mahali kwani ni nuclear code.
Jambo la pili uwe ni mlipa kodi kwa maana uwe na TIN na la pili hakikisha una tax clearance na mkataba wa eneo unalofanyia biashara (Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba).
Nyaraka hizo zi scan kwani utahitajika ku upload kwenye mtandao.
Fungua kwanzaaccount na anza,ukipata changamoto rudi hapa.
Hii imekaaje wafanya biashara ambao hawana pango wanafanyia online. Au kwa wale wanao anza biashara.
You must log in or register to reply here.